Friday, December 14, 2012

MAPISHI YA  BISKUTI ZA JAM

MAHITAJI 
1. Unga wa Ngano 2 vikombe
2.Olive oil Sukari  
3.Sukari robo                                     
4. Baking powder 2 tsp
5.Mayai 2
6.Flovour yeyote(strawberry,vanilla ,choclate n.k)1tsp
 
NAMNA YA KUTAYARISHA 
 
  • Changanya sukari ,mayai,flavour yako na olive oil koroga ikiwezekana isage kwenye blenda. Tia unga kwenye bakuli pamoja na baking powder, mimina vitu ulivyosaga kwenye bakuli, changanya.
  • Punguza unga uliochanganya kidogo weka pembeni.--  Unga uliobakia tia kwenya tray ya kuchomeya, utandaze vizuri, tia jam juu yake.
  • Chukua la kukwaruzia carrot (grater) ukwaruze unga uliuopunguza juu ya jam.
  •  Choma kwa muda dakika 20 moto wa 180 C. 
  • Acha ipowe kidogo, zikate vipande vya mraba (square) Tayari kwa kula.


 
 

0 comments:

Post a Comment